• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

TFS wapewa siku 7 kuwasilisha mpango wa uvunaji miti

Posted on: April 6th, 2018

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Hamis Kigwangala ametoa siku 7 kwa Wakala wa Huduma za Misitu kuandaa na kuwasilisha mpango wa namna ambavyo watatekeleza suala la uvunaji wa mazao ya misitu nchi nzima kabla vibali havijatolewa.

Waziri Kigwangala ametoa agizo hilo wakati akihitimisha kilele cha maadhimisho ya upandaji miti Kitaifa ambayo Kitaifa yamefanyika katika Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga.

Mhe. Kigwangala amesema inatakiwa kuwe na utaratibu wa kutoa vibali kwenye maeneo ambayo yana rasilimali kwa kuzingatia kiasi cha rasilimali za misitu zilizopo.

Ameongeza kuwa, siyo vema kunatoa vibali wakati haijulikani uvunaji unafanywa wapi na kwa kiasi gani unafanyika. Hivyo lazima kuwe na mpango wa tathmini ya kila Mkoa una rasilimali kiasi gani. Amesema asipoupata mpango huo atasisitisha uvunaji. na kupeleka waraka kwa wakuu wa Mikoa wazuie uvunaji kwenye Mikoa yao.

“Natoa siku saba kwa TFS kuwasilisha kwangu mpango wa tathmini ya uvunaji wa mazao ya misitu nchi nzima kwa kuzingatia rasilimali za misitu kilichopo pamoja na kiwango halisi kitakachotakiwa kuvunwa ambacho hakitazidi robo ya rasilimali iliyopo”

“Lazima tutambue rasilimali tulizonazo, tujue tuna miti kiasi gani, ukubwa wake kiasi gani na akiba ya misitu ni kiasi gani na inavunwa wapi”. Anasema Kigwangala.

Katika hatua nyingine Dkt. Kigwangalla alitoa siku 30 kwa wananchi waliovamia ngitiri waondoke mara moja vinginevyo wataondolewa kwa nguvu huku akisisitiza wananchi wajifunze kilimo na ufugaji usioharibu mazingira.

Amewaasa wananchi kupanda miti ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kutokana na hali ya kupungua kiwango cha mvua baada ya vitendo hivi vinavyofanywa na binadamu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUOMBA NAFASI YA UJUMBE WA BODI YA HOSPITALI YA MKOA January 03, 2020
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha nne 2019 January 09, 2020
  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa Kidato cha pili 2019 January 09, 2020
  • Mwenge wa Uhuru kuwasili Mkoani Shinyanga May 07, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU 100

    June 27, 2021
  • SIKU MIA 100 ZA RAIS SAMIA

    June 27, 2021
  • DKT. SENGATI AHAIDI KUPAMBANA NA CHANGAMOTO YA UMASIKINI SHINYANGA

    June 05, 2021
  • Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga aapishwa

    June 02, 2021
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa