• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

TIMU YA UTEKELEZAJI WA MRADI WA GROW INREACH SHINYANGA YATAKIWA KUONGEZA KASI

Posted on: May 7th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

TIMU ya utekelezaji wa shughuli za mradi wa Grow Inreach katika Mkoa wa Shinyanga imetolewa wito wa kuongeza kasi ili kuepuka fedha kupitwa muda wa utekelezaji wake na hivyo kusababisha kurudishwa kwa wahisani huku ikisisitizwa kuunda Kamati ndogo itakayokuwa ikisaidia utekelezaji kati ya wanufaika/wananchi na Grow Inreach.

Haya yamesemwa leo tarehe 7 Mei, 2024 na Bi Alice Yugi ambaye ni Regionall Project Manager kutoka Ofisi ya World Vision Nchini Kenya wakati wa kikao kazi kati ya uongozi wa World Vision Kanda ya Ziwa na Timu ya utekelezaji wa mradi Mkoa wa Shinyanga wakiongozwa na Dr. Yudas Ndungile Mganga Mkuu (M) Shinyanga.

"Pamoja na kuwapongeza kwa kupata mradi huu, lakini tunatoa wito kwa Timu inayohusika na utekelezaji wa mradi huu kuongeza kasi katika shughuli zake ili isijetokea sababu yoyote ya kuchelewesha mradi na kupelekea kurejeshwa kwa fedha za mradi," amesema Alice.

Mkoa kwa kushirikiana na Shirika la World Vision unatekeleza mradi wa Grow Enrich wa miaka mitano (2023  2027) mradi huu unafadhiliwa na Serikali ya Ujerumani na unatekelezwa kwenye Halmashauri ya Kiahapu na Shinyanga DC huku lengo la mradi ni kuboresha Afya na Lishe za vijana, wasichana, wanawake na wanaume wapatao 270,236 na kuimarisha usawa wa kijinsia kwenye maeneo ya mradi.

Hapa makundi lengwa ni pamoja na watoto wachanga miezi 0-6, miezi 6-23, Vijana na wasicha miaka 12-18 na watu wazima (wanaume na wanawake).

Kuzindua Mradi, uzinduzi rasmi wa mradi ulifanyika na ulihudhuriwa na viongozi wa serikali ya Mkoa na Halamashauri husika na viongozi wa ngazi ya jamii, uchambuzi wa uwezo wa wataalamu wa afya na kubaini mahitaji ya mafuzo kwa watoa huduma za afya.

Jumla ya vituo vya kutolea huduma za afya 28 vilifikiwa na watoa huduma 80 walifikiwa ambapo pia mradi ulifanya mafunzo kwa watoa huduma za afya 95 kwenye maeneo ya Lishe, Uzazi salama, GBV na ANC na utafiti wa awali ili kujua hali hali halisi ya viashiria vya mradi kabla ya kuanza rasmi kwa utekelezaji wa mradi.


HABARI PICHA


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa