• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

TUMIENI RASILIMALI ZINAZOTUZUNGUUKA KUKUZA UCHUMI - RC MACHA

Posted on: September 17th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amewataka wananchi wa Mkoa wa Shinyanga kuzitumia vema rasilimali zinazotuzunguuka katika maeneo yetu ili kuweza kuchechemua uchumi mtu binafsi, familia, Mkoa na Taifa kwa ujumla hjku akisisitiza kuwa kwa kutekeleza hili watakuwa wameishi na kumuunga mkono Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Imatisha Uchumi na Mama Samia (IMASA) ambayo ipo chini ya Baraza la Uwezeshaji  Wananchi Kiuchumi.

Akifafanua rasilimali zinazotuzunguuka ni pamoja na Kilimo, Ufugaji pamoja na Uchimbaji wa Madini ili kuweza kuongeza thamani ya mnyororo kupitia rasilimali hizi huku akisisitiza uanzishwaji wa hata kiwanda kidoho cha kuzalisha na kiongeza thamani ya maziwa katika Mkoa wa Shinyanga ukizingatia tunao ng'ombe wengi sana kulinganisha na maeneo mengine.

"Niwaombe sana wananchi wa Mkoa wa Shinyanga twende kuzitumia vema rasilimali zote tulizonazo katika maeneo yetu ili tuweze kwenda na kuishi falsafa ya Imarisha Uchumi na Mama Samia ambayo imekuja kuinua uchumi wetu kupitia fursa tulizonazo sisi," amesema RC Macha.

Kwa upande wake Bi. Sophia Mjema ambaye Mratibu wa Mabaraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kutoka Ofisi Rais Wanawake na Makundi Maalum amesema kuwa Serikali imeanza kuimarisha  majukwaa ya  Uwezeshaji  Wananchi Kiuchumi hapa nchini  kwa kuanzisha program ya  Imarisha Uchumi na Mama Samia (IMASA).

Haya yote yakiwa na lengo kuu ni kuitambulisha programu hii, kuyafufua majukwaa uwawezesha wananchi kiuchumi kupitia vikundi ili waondokane na umasikini na kuingia katika uchumi wa kati kwa kufanya mapinduzi ya kiuchumi kwa kuhakikisha kunakuwa na bidhaa zinazeweza kuendeleza mkoa husika.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa