• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Kamati za maadili ya Viongozi wa Umma Shinyanga, wapewa mafunzo

Posted on: December 17th, 2019

Picha ya pamoja ya Mgeni rasmi Katibu Tawala  Mkoa wa Shinyanga Bw. Albert Msovela(katikati waliokaa) na washiriki wa mafunzo hayo

Picha ya pamoja ya Mgeni rasmi Katibu Tawala  Mkoa wa Shinyanga Bw. Albert Msovela(katikati waliokaa) na washiriki wa mafunzo hayo

Mmoja wa Maafisa kutoka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Tabora Bi. akitoa mada kuhusu sheria ya maadili ya viongozi katika mafunzo hayo.

Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Bw. Albert Msovela akitoa neno la ufunguzi wa mafunzo hayo

Baadhi ya washiriki wa mafunzo wakifuatilia mada kwa makini katika mafunzo hayo

Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Bw. Albert Msovela amewataka Viongozi wa Umma kufuata sheria na misingi ya maadili inayowaongoza katika utendaji wao bila kuingiza maslahi yao binafsi.

Msovela ameyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya maadili na mgongano wa kimaslahi kwa wajumbe wa Kamati za maadili ya Viongozi wa Umma Mkoa wa Shinyanga, yaliyofanyika kwa siku moja katika Ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Shinyanga hapo jana tarehe 17/12/2019.

Amewataka Viongozi hao watafakari kwenye Taasisi wanazozisimamia ni changamoto zipi wanakutana nazo ili wazifanyie kazi na kupunguza migogoro na kutatua matatizo katika utumishi wa Umma.

Amesema wajikumbushe wajibu wao katika kila nafasi waliyonayo ikiwemo maamuzi wanayoyatoa bila kuathiri maslahi ya Taifa. 

Katika mafunzo hayo yaliyohudhuriwa na Wakuu wa Idara wa baadhi ya Taasisi pamoja na Madiwani, mada za sheria ya maadili ya viongozi wa Umma,  Mgongano wa Kimaslahi na Kanuni za maadili na utendaji katika utumishi wa Umma ziliwasilishwa na Maafisa wa Sekretarieti ya maadili ya Viongozi wa Umma.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • MAISHA BAADA YA KUSTAAFU YANAHITAJI UTULIVU - DC. MTATIRO

    May 26, 2025
  • MAFUNZO YA IPOSA NI MKOMBOZI KWA VIJANA WALIO WENGI WANAOKOSA FURSA YA ELIMU YA KAWAIDA - RC. MACHA

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa