• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

WANANCHI WA KIJIJI CHA UGELA WAMSHANGILIA MKUU WA MKOA WA KWANZA KUFIKA HAPO TANGU KUANZISHWA KWA KIJIJI HICHO

Posted on: September 18th, 2023

Na. Shinyanga RS.

Wananchi wa Kijiji cha Ugela wameonesha shangwe kubwa kwa MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Solomon Mndeme ambaye amekuwa RC wa kwanza kufika tangu kuanzishwa kwa kijiji hicho kilichopo Kata ya Ulowa Halmashauri ya Ushetu Wilayani Kahama huku akiwaeleza namna ambavyo Serikali inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inavyowajali na hata sasa inaboresha na kuwasogezea huduma karibu yao.

Hayo yametokea leo tarehe 18 Septemba, 2023 ambapo Mhe. Mndeme akiwa katika utaratibu wake wa ziara za kutembelea, kuongea, kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika Halmashauri zote za Mkoa wa Shinyanga ambapo kwa Wilaya ya Kahama ameongozana na Mkuu wa Wilaya Mhe. Mboni Mhita @mboni_mhita, Kamati za Usalama, Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi, Mbunge wa Jimbo la Ushetu Mhe. Emmanuel Cherehani, wataalam mbalimbali kutoka Taasisi kama Wakala wa Umeme Vijijini (REA), RUWASA na TARURA kwa lengo la kutatua kero zao.

"Ndugu zangu wananchi wa Kijiji hiki cha Ugela, asanteni sana kwa mapokezi yenu makubwa, napokea pongezi za kuwa Mkuu wa Mkoa wa kwanza kufika hapa tangu kuanzishwa kwa kijiji hiki. Pamoja na hayo naomba niwaambia kuwa Serikali inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inawajali sana kama mnavyoona imeleta fedha nyingi sana katika sekta mbalimbali ikiwemo elimu, afya, nishati ya umeme, miundombinu nk," alisema Mhe. Mndeme.

Katika mkutano huo wa hadhara kero mbalimbali zilitajwa na kupatiwa ufumbuzi ikiwemo kukosekana kwa usalama, mawasiliano ya simu, maji, barabara na upungufu wa watumishi sekta ya afya.

Akijibu kero hizo Mhe. Mndeme aliaguza uongozi wa Polisi Mkoa kuhakikisha Kituo Kidogo cha Polisi kinakamalika haraka na kuletwa askari katika eneo hilo kwakuwa kituo kilikwisha anza kujengwa tayari. Aidha kuhusu mawasiliano tayari Kampuni ya Vodacom wamekwishafika na kusaini katika Serikali ya Kijiji na sasa wapo mbioni kuanza ujenzi wa mnara.

Kero ya maji ilitolewa ufafanuzi kuwa mradi wa maji ya Ziwa Victoria unakuja na moja eneo litakolonufaika ni Kijiji cha Ugela.


MATUKIO KATIKA PICHA


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa