• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Wananchi wa Maganzo, Kishapu watangaziwa neema ya kutumia mchanga wa Almasi

Posted on: December 11th, 2019

Serikali imewatangazia wananchi wa kata ya Maganzo, Wilaya ya Kishapu kuanza kuchenjua mchanga unaotokana na madini ya Almasi ndani ya mwezi huu.

Waziri wa madini mhe. Dotto Biteko amewatangazia neema hiyo wakati wa mkutano na wananchi hao uliofanyika Maganzo hapo jana tarehe 10/12/2019  na kusema kuwa kuanzia tarehe 22 Desemba Mgodi wa Mwadui utaanza kutoa mchanga huo nje ya mgodi.

"Miaka yote mlikuwa mnalilia mchanga, mchenjue tumekubaliana na mgodi nimeshawaambia tar 22 mwezi huu mchanga utatolewa kule ndani, nipate taarifa tarehe hiyo kuwa mchanga umeanza kutoka" amesisitiza Biteko.

Mhe. Biteko amewataka wananchi wa Maganzo kuhakikisha wanapopata Almasi wapeleke kwenye soko wauze ili walipe kodi, isiwe ni uchochoro wa kuitorosha.

Biteko pia amemuagiza Afisa Madini Mkoa kuhakikisha kuaniza Januari mwaka 2020, asilimia 5 ya Almasi inabaki kuuzwa kwenye soko la Maganzo ili kuinua uchumi wa wananchi.

Amesema mhe. Rais Magufulu ameitoa mbali sekta hii tangu Almasi ilikuwa inachukuliwa kupelekwa Ulaya wakati Wanamaganzo wamebaki masikini. "Mhe. Rais anachotaka ni Almasi na madini mengine nchini yabadilishe maisha ya wananchi, kwenye hili Rais hana mchezo " amesisitiza Biteko.

Amesema hivi sasa katika sekta ya madini mapato yamepanda hadi sh. bil 470 kutoka sh. bil 190 kutokana na kuanzisha mfumo wa masoko ili kodi ibaki Tanzania itumike kujenga madarasa, kuongeza miundombinu na madawa hospitalini.

Wananchi wa Maganzo, Kishapu watangaziwa neema ya kutumia mchanga wa Almasi

Matangazo

  • TANGAZO LA KUOMBA NAFASI YA UJUMBE WA BODI YA HOSPITALI YA MKOA January 03, 2020
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha nne 2019 January 09, 2020
  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa Kidato cha pili 2019 January 09, 2020
  • Mwenge wa Uhuru kuwasili Mkoani Shinyanga May 07, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU 100

    June 27, 2021
  • SIKU MIA 100 ZA RAIS SAMIA

    June 27, 2021
  • DKT. SENGATI AHAIDI KUPAMBANA NA CHANGAMOTO YA UMASIKINI SHINYANGA

    June 05, 2021
  • Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga aapishwa

    June 02, 2021
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa