• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

WATAHINIWA 41,463 KUFANYA MTIHANI WA DARASA LA SABA SHINYANGA

Posted on: September 9th, 2025


Katibu Tawala Msaidizi anayesimamia Elimu na Mafunzo ya Ufundi mkoani Shinyanga, Samson Hango, amesema jumla ya watahiniwa 41,463 wanatarajiwa kuanza mtihani wa kumaliza darasa la saba kuanzia kesho, Septemba 11, 2025 katika shule zote za msingi za Serikali na binafsi mkoani humo.

Akizungumza na Waandishi Wa Habari Ofisini kwake, Hango amesema kati ya watahiniwa hao, wasichana ni 23,938 na wavulana ni 17,525, huku akibainisha kuwa maandalizi yote muhimu yamekamilika ikiwa ni pamoja na usalama wa mitihani, mazingira ya shule, pamoja na maandalizi ya walimu wasimamizi.

Ameongeza kuwa jumla ya shule 664 zitashiriki katika mtihani huo, ambapo 598 ni shule za Serikali na 66 ni shule binafsi.

Aidha, Hango amesema kati ya watahiniwa wote, wanafunzi 54 wenye mahitaji maalumu watashiriki mtihani huo, wakiwemo wavulana 26 na wasichana 28, na tayari maandalizi ya kuhakikisha mazingira rafiki kwa kundi hilo yamefanyika.

Amewataka wazazi na walezi kuwahamasisha watoto wao kufanya mtihani kwa amani, utulivu na bila hofu, huku akiwasihi kuhakikisha watoto wao wanafika shuleni kwa wakati.

 “Tunawatakia kila la heri watahiniwa wetu wote. Serikali kupitia Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Halmashauri zote imejipanga kuhakikisha mitihani hii inafanyika kwa utulivu na uadilifu wa hali ya juu,” amesema Hango.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TRA MSIFUNGE BIASHARA KWA CHANGAMOTO ZINAZOTATULIKA – RC MBONI MHITA

    September 10, 2025
  • KAMISHNA WA URAIA NA PASPOTI AMTEMBELEA MKUU WA MKOA WA SHINYANGA, AZUNGUMZIA MABORESHO YA HUDUMA ZA UHAMIAJI

    September 10, 2025
  • SHINYANGA: VITUO VYA AFYA 331 KUSAJILIWA KWENYE MFUMO WA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BIMA (TIRA)

    September 09, 2025
  • WATAHINIWA 41,463 KUFANYA MTIHANI WA DARASA LA SABA SHINYANGA

    September 09, 2025
  • Angalia zote

Video

RC MHITA AZINDUA DAWATI MAALUM LA UWEZESHAJI BIASHARA TRA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA

    Anuani: P.O.Box 37180,SHINYANGA, TANZANIA

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa