• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

WATUMISHI MKOANI SHINYANGA WEKENI UMUHIMU KWENYE BIMA - DC. MTATIRO

Posted on: February 24th, 2025

#shinyanga_rs

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Julius Mtatiro ambaye alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amesema ipo haja kwa watumishi mkoani hapa kuweka umuhimu zaidi kwenye bima huku wakitakiwa kufuata ushauri wa madaktari ili waepukane na magonjwa nyemelezi.

Mhe. Mtatiro ameyasema hayo Februari 24, 2025 wakati akifungua Mafunzo kwa watumishi yaliyoendeshwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) ambayo pamoja na mambo mengibe yalilenga kuwajengea uelewa wa Bima ya maisha, gari, nyumba na mali nyinginezo.

"Kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa, niseme tu kwamba kuna kila sababu ya kuweka umuhimu zaidi kwenye masuala yote yanayohusu Bima na kwa kuzingatia ushauri wa wataalam ili kuepukana na magonjwa nyemelezi,h amesema Mhe. Mtatiro.

Kwa upande wake Kamishna wa  Bima nchini Dkt. Baghayo Saqware amewataka watumishi mkoani Shinyanga kujenga utamaduni wa kukata bima ya kulinda mali zao ikiwemo Mazao, Madini, Viwanda na gari  jambo ambalo litawaepusha na hasara ya mali pale majanga yanapotokea ikiwemo mali zao  kuungua moto au kusombwa na mafuriko yanayosababishwa na mvua kubwa.

Dkt. Baghayo amesema kuwa, utafiti uliofanywa na  Mamlaka ya usimamizi wa bima Tanzania (TIRA)  umebainisha kuwa licha ya wananchi kutokuwa na uelewa wa kukatia bima mali zao, lakini pia hata watumishi nao wanakumbwa na hali hiyo.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa