• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

WAZIRI AWESO AZINDUA MRADI WA UPANUZI WA MTANDAO WA MAJI ISAGEHE

Posted on: January 11th, 2024

WAZIRI wa Maji Mhe. Jumaa Aweso  amezindua mradi wa upanuzi wa mtandano wa maji katika kijiji cha malenge kata ya isagehe manispaa ya Kahama mkoani shinyanga, mradi ambao umegharimu aaidi ya Tzs. Mil. 940  utakao huhudumia takribani watu elfu 15 katika kata hii na maeneo jirani.

Akizingumza baada ya kuzindua mradi huu tarehe 9 Jan  2024,  pamoja na mambo mengine, lakini Mhe. Aweso ameipongeza sana Mamlaka ya Maji Wilayani Kahama (KUWASA ) kwa kusimamia vyema mradi huu huku akiagiza  Mamlaka  hii kuanza mchakato wa kutafuta eneo ili kuanza ujenzi wa bwawa maalum litakalo saidia kutatua tatizo la maji pindi itokea hitilafu kwenye Ziwa Viktoria ambapo ndio chanzo kikuu cha maji kwa Wilaya ya Kahama.

Amesema kwa sasa Wilaya nzima ya Kahama inategemea chanzo kikuu kimoja cha maji cha Ziwa Viktoria  na kutokuwapo kwa chanzo mbadala kusababisha tatizo la maji kuwa kubwa pindi inapotokea hitilafu kwenye chanzo hicho.  Hivyo ameiagiza KUWASA kushirikiana na uongozi wa wilaya kutafuta eneo na kujenga bwawa hilo maalum.

"KUWASA, anzeni mchakato wa kutafuta eneo litakalojengwa bawawa maalum ambalo litakuwa ni mbadala wa chanzo cha maji cha ziwa Victoria ili liweze kusaidia pindi kunapotokea changamoto yoyote ikwenye chanzo hiki cha maji", amesema Mhe. Aweso.

Aidha Mhe. Aweso amesema Wizara ipo tayari kushirikiana na KUWASA ili kujenga bwawa hilo na kuondoa tatizo la maji kwenye Wilaya ya kahama inayojitokeza hasa tatizo la kiufundi linapojitokeza na kusababisha adha kubwa kwa wananchi wa Kahama.

Kufanikisha kwa upanuzi huu wa mtandao wa maji katika kata hii ya Isagehe uliogharimu zaidi ya Mil. 940 kunatajwa kuwa mwarobaini wa tatizo la maji lililodumu kwa muda mrefu eneo hili.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa