Shamrashamra za Mwenge wa Uhuru Mwaka 2018 Mkoani Shinyanga katika kijiji cha Wishiteleja Wilayani Kishapu ukiwasili kutokea Mkoani Simiyu Tarehe 20/08/2018.
Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa na Halmashauri tarehe 26 Machi, 2017 ambapo Mgeni rasmi alikuwa na Waziri wa Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. George Simbachawene.
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inawakaribisha wananchi wote kwenye sherehe za maadhimisho ya miaka 53 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yatakayofanyika Kitaifa Mkoani Dodoma tarehe 26 Aprili, 2017. Mgeni rasmi wa maadhimisho hayo ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli. Wote mnakaribishwa.
Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa