• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Maktaba ya Video

  • SHINYANGA YANG'ARA SIKU YA USAFISHAJI DUNIANI — RC MHITA AONGOZA USAFI SOKO LA KAMBARAGE

    September 22nd, 2025

    Katika kuadhimisha Siku ya Usafishaji Duniani Septemba 20, 2025, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Mboni Mhita ameongoza mamia ya wananchi kushiriki zoezi la usafi katika Soko la Kambarage, Manispaa ya Shinyanga.

    Akizungumza na wananchi, Mhe. Mhita amesisitiza umuhimu wa kuzingatia usafi kama sehemu ya maisha ya kila siku na si tukio la mara moja. 

    Ameeleza kuwa soko hilo ni miongoni mwa maeneo yatakayofanyiwa maboresho kupitia mradi wa TACTIC, hivyo kuhitaji maandalizi bora ya mazingira.“Tuache kusubiri maagizo, tufanye usafi kwa kujitambua, kwa afya zetu, kwa heshima ya mji wetu,” amesema RC Mhita.

    Kwa upande wake, Katibu Tawala wa Mkoa CP Salum Hamduni amepongeza mwitikio wa wananchi na kutoa wito kwa jamii kuendeleza utamaduni huo kila siku.

  • RC MHITA AZINDUA DAWATI MAALUM LA UWEZESHAJI BIASHARA TRA SHINYANGA

    September 11th, 2025

    Katika uzinduzi wa Dawati Maalum la Uwezeshaji Biashara uliofanyika Septemba 10, 2025, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Mboni Mhita ameitaka TRA kutumia njia za maelewano na elimu badala ya kufunga biashara kwa changamoto zinazoweza kutatuliwa.

  • KUTOKA MAKTABA: SHINYANGA SABASABA – SAFARI YA MAFANIKIO NA MAENDELEO.

    September 9th, 2025

    Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yalikuwa jukwaa la kipekee kwa Mkoa wa Shinyanga kuonesha fursa za kiuchumi, mafanikio ya miradi ya kimkakati, ubunifu wa wananchi na ushiriki wa taasisi mbalimbali.

    Kupitia Makala hii, tunakuletea kumbukumbu ya maandalizi na msisimko kuelekea Sabasaba, tukionesha dhamira ya Mkoa wa Shinyanga katika kuunga mkono juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kukuza uchumi wa viwanda na biashara.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MHITA AWAFARIJI WAFANYABIASHARA WALIOUNGULIWA MADUKA KAHAMA.

    October 26, 2025
  • RC MHITA ATOA WITO KWA WANANCHI SHINYANGA KUJITOKEZA KUPIGA KURA OCTOBA 29.

    October 25, 2025
  • RC MHITA AZINDUA MPANGO WA KITAIFA WA UGAWAJI WA MBEGU BORA KWA WAKULIMA MSIMU WA 2025/2026

    October 23, 2025
  • SHINYANGA YAPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA KWA NGUVU MPYA

    October 21, 2025
  • Angalia zote

Video

RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa