• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Maktaba ya Video

  • RC MHITA AZINDUA DAWATI MAALUM LA UWEZESHAJI BIASHARA TRA SHINYANGA

    September 11th, 2025

    Katika uzinduzi wa Dawati Maalum la Uwezeshaji Biashara uliofanyika Septemba 10, 2025, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Mboni Mhita ameitaka TRA kutumia njia za maelewano na elimu badala ya kufunga biashara kwa changamoto zinazoweza kutatuliwa.

  • KUTOKA MAKTABA: SHINYANGA SABASABA – SAFARI YA MAFANIKIO NA MAENDELEO.

    September 9th, 2025

    Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yalikuwa jukwaa la kipekee kwa Mkoa wa Shinyanga kuonesha fursa za kiuchumi, mafanikio ya miradi ya kimkakati, ubunifu wa wananchi na ushiriki wa taasisi mbalimbali.

    Kupitia Makala hii, tunakuletea kumbukumbu ya maandalizi na msisimko kuelekea Sabasaba, tukionesha dhamira ya Mkoa wa Shinyanga katika kuunga mkono juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kukuza uchumi wa viwanda na biashara.

  • SHINYANGA YAWAKILISHA KWA KISHINDO MWENGE WA UHURU 2025 HATUA KUBWA ZA MAENDELEO, UWAZI KWA WANANCHI

    August 28th, 2025

    Karibu utazame Makala maalum ya Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 katika Mkoa wa Shinyanga!  Mwenge wa Uhuru umepita kwenye Halmashauri zote za Mkoa huu, ukikagua, kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo. Kupitia Makala hii, utaona namna wananchi, viongozi na taasisi mbalimbali walivyoshiriki kwa pamoja katika kuenzi tunu ya Uhuru, Uwajibikaji na Maendeleo kwa wote.Makala hii inaonesha mshikamano, uwazi na jitihada za Serikali ya Mkoa wa Shinyanga chini ya uongozi wa Mkuu wa Mkoa, Mhe. Mboni Mhita, katika kusimamia utekelezaji wa miradi ya wananchi kwa weledi na uaminifu.

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TUME YA TAIFA YA MIPANGO YA MATUMIZI YA ARDHI YAKUTANA NA MKUU WA MKOA WA SHINYANGA, YAAHIDI KUTOA HATI ZAIDI YA 1,000 KWA WANANCHI WA USHETU.

    September 15, 2025
  • RC MHITA: TUIOMBEE NCHI YETU NA TUDUMISHE AMANI

    September 15, 2025
  • TRA MSIFUNGE BIASHARA KWA CHANGAMOTO ZINAZOTATULIKA – RC MBONI MHITA

    September 10, 2025
  • KAMISHNA WA URAIA NA PASPOTI AMTEMBELEA MKUU WA MKOA WA SHINYANGA, AZUNGUMZIA MABORESHO YA HUDUMA ZA UHAMIAJI

    September 10, 2025
  • Angalia zote

Video

RC MHITA AZINDUA DAWATI MAALUM LA UWEZESHAJI BIASHARA TRA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA

    Anuani: P.O.Box 37180,SHINYANGA, TANZANIA

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa