Posted on: May 4th, 2017
Waandishi wa Habari wametakiwa kutoa habari sahihi kwa wananchi ili kuendelea kudumisha amani na utulivu.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack ametoa wasia huo katika maadhimisho ya Siku ya...
Posted on: May 3rd, 2017
Waajiri wa sekta binafsi Mkoani Shinyanga wameagizwa kuhakikisha wanafuata sheria za kazi ikiwemo kuwapatia mikataba ya kazi ya maandishi watumishi wao pamoja na vitendea kazi ili waweze kufanya kazi ...
Posted on: April 28th, 2017
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack amewapongeza wananchi wa kata ya Chela katika Halmashauri ya Wilaya ya Msalala Wilayani Kahama kwa ushirikiano wao wa kuunga mkono juhudi za Serikali za ku...