Posted on: January 18th, 2019
Watendaji wa Vijiji na kata Mkoani Shinyanga wameagizwa kuhakikisha akina mama wajawazito wanajifungulia kwenye vituo vya afya na kutoa taarifa kila mwezi kuhusiana na vifo vinatokanavyo na uzazi.
...
Posted on: January 3rd, 2019
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack amewataka wakulima kuzingatia maelekezo yanayotolewa na wataalamu wa kudhibiti panya waharibifu mashambani kwa ajili ya usalama wao na mifugo yao.
Mhe. ...
Posted on: January 3rd, 2019
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack amewataka wazazi kuwapeleka shule watoto wao ili waelimike na kusaidia kupunguza tatizo la mauaji ya vikongwe kwa imani za kishirikina.
Mhe. Telacka ame...