Posted on: January 8th, 2018
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Nyabaganga Taraba kuwakamata wananchi watakaokaidi maelekezo ya wataalamu wa kilimo ya kulima kitalaamu.
Mhe. ...
Posted on: January 8th, 2018
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack amewataka wazazi kuhakikisha kuwa watoto walioandikishwa kuanza shule kuanzia kiwango cha elimu ya msingi pamoja na Sekondari wanamaliza elimu yao.
Ames...
Posted on: November 23rd, 2017
Kamati ya lishe ya Mkoa wa Shinyanga imeweka mkakati wa kuhakikisha kuwa, Halmashauri zote zinatenga bajeti kupitia vyanzo vya mapato vya uhakika kuanzia mwaka ujao wa fedha kwa ajili ya kuwezesha ute...