Posted on: July 12th, 2017
Jumla ya miradi 60 ya maendeleo yenye thamani ya shilingi 15, 305,964,195.75 itapitiwa na Mwenge wa Uhuru ukiwa Mkoani Shinyanga.
Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Bw. Albert Msovela amesema wakati a...
Posted on: May 31st, 2017
Serikali ya Mkoa wa Shinyanga imewashauri wadau wa afya Mkoani hapa kuanza kuwaelimisha wananchi kujikinga na maradhi mbalimbali badala ya kutumia fedha na nguvu katika kutibu.
Akifungua kika...
Posted on: May 31st, 2017
Wadau wa afya Mkoani Shinyanga wametakiwa kujenga dhana ya ushirikishaji katika ngazi zote za kutekeleza majukumu yao ili kuwa na lugha moja na Serikali ya Mkoa kwa kuwa na taarifa zenye takwimu sahih...