Posted on: March 14th, 2018
Kata ya Songwa, Wilayani Kishapu imepanga kutumia jumla ya sh. 291,097,581 kati ya sh. milioni mia nne (400,000,000) zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu katika kituo cha Afya.
...
Posted on: March 2nd, 2018
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack amewataka Maafisa Utumishi wenye tabia ya kuwanyanyasa watumishi kuacha tabia hiyo mara moja.
Akizindua Baraza la Wafanyakazi la Sekretarieti ya Mkoa wa...
Posted on: March 2nd, 2018
Watumishi wa Serikali Mkoani Shinyanga wameonywa tabia ya ulevi wakati wa saa za kazi pamoja na utoro bila sababu za msingi.
Onyo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack jan...